Tuesday, December 30, 2014

FILM OF THE RECORD interview broke them NORTH KOREA

Sony Picutues company states that - the interview - which is highly controversial satirical film about a plot to assassinate the leader of North Korea Kim Jong un has been more successful online.
The company says that the film has been purchased and leased more than two million times in four days since be included in networks.
Sony suspended its plan to film after the company's computer interference allegedly corrupt harvest while North Korea linked in such a corrupt harvest.

FILAMU YA THE INTERVIEW YAVUNJA REKODI KUREA KASKAZIN.

Kampuni ya Sony Picutues inasema kuwa - the interview - ambayo ni filamu yenye utata ya dhihaka kuhusu njama ya kumuua kiongozi wa korea kaskazini Kim Jong un imekuwa yenye mafanikio zaidi mtandaoni.
Kampuni hiyo inasema kuwa filamu hiyo imenunuliwa na pia kukodishwa zaidi ya mara milioni mbili kwa muda wa siku nne tangu iwekwe kwenye mitandao.
Sony iliahirisha mpango wake wa filamu baada ya komputa za kampuni hiyo kudaiwa kuingiliwa na uhalibifu, huku Korea Kaskazini ikihusishwa katika uhalibifu huo.

Read more »

Saturday, December 27, 2014

SERIKALI IMEFUMBA MACHO KUCHAKAA KWA PANTONI LA MV KIGAMBONI

Hivi majuzi kivuko cha MV KIGAMBONI kiligeuka kituko baada ya kupote na kuelekea NEVI haikuwa rahisi kivuko hicho kuweza kurudi katika njia yake cjenyewe hadi kilipopata msaada wa kuongozwa na viboti vidogo vya kuongozea meli kubwa za mizigo zinazoingia na kutoka bandarini hapo.

nimefikia kuandika taarifa hii baada ya kuona kivuko hicho kikitumia mda wa saa moja kufika upande wa pili kutoka upande mwingine na siku hilipopotea kilichukuwa mda wa masaa mawili kuweza kumaliza safari na kumbuka hakikuwa bila watu na magali baali kilikuwa na magali na abiria kibao mala baada ya kufika feri ya kigamboni zilisikika sauti za abiria wakiimba kwa flaha na masikitiko wakisema hiki sio kivuko cha MV KIGAMBONI bali ni kivuko cha MV MAJANGA na huku wakiwa wameshikilia maboya ya kujisaidia pale itapotokea kuzama kwa kivuko.

serikali kinga ni bora kuliko tiba .

Read more »

Sunday, October 12, 2014

European girls shocked constitution process

European Union (EU), has been disappointed by Tanzania not use an IP option to the creation of a new constitution to remove the death penalty.

EU, stated this yesterday in a statement to journalists in Dar es Salaam, including the day against the death penalty and explain that voice will continue until such penalty shall be reached the point of cancellation.

Also, the EU has stated that Tanzania still has a chance to remove the sentence.

EU and Council of Europe, explained that having to sign and join forces, they will ensure that they continue to resist punishment in all cases to protect the world agricultural shamans who controlled the protection of human rights.

The coalition has stated that it will protect the community and ensure no member who uses the sentence and explained that this year the number of people sentenced to such punishment has increased.

In addition, the EU has called on African countries to continue to accept the protocols and conventions of human rights and the abolition of the punishment.

Also, the EU have praised the various civil society organizations working to desire that punishment and opposition to efforts to encourage Seeks continue.

They explained that since independence Tanzania has traces agreements concerning human rights within the framework of the African Union and also a member of the International Covenant on Civil and Political Rights (ICCPR) and the International Covenant on Economic, Social, and Justice Cultural (ICESCR).

The death penalty in the country was last implemented in 1995, and in the case of other countries such punishment has been going on with the release of zikitaja reported number of deaths reach 778, an increase of 15 percent, which governs Iran and Iraq.

Nacho Center for Law and Human Rights (LHRC), kimetaka amendment to Article 33 in the constitution proposed to continue allowing the death penalty.

The call was made yesterday by the Acting Director of the center, Imelda Lulu Rio, when he gave a statement on the anniversary of the day against the death penalty world takes place every year by October 10.

Rio, said the disappointed to see that despite the existence of a campaign to cancel the sentence, it still continues to exist in the proposed constitution which was adopted by the Constituent Assembly Constitution recently.

"Article 33 says that every person has the right to survive and get out in the community, the preservation of his life from the government and society in accordance with the laws of the land.

"Also in Article 95 (1) (c) has bestowed on him the President the authority to change the death penalty being life imprisonment.

For that reason, this proposed constitution still maintains the existence of the death penalty unconstitutional, which is contrary to human rights, especially in this century that many countries They have written off a penalty.

However, he said in celebrating this day, the Centre is proposing Article 33 of the constitution proposed to delete and completely remove the term in accordance with the laws of the country in order to ensure that the right to life exist without interference or kuminywa by any law.

The director also wanted to Tanzania to study in another country on earth that are not implementing the death penalty is, how people have dealt with offenses of murder.

Read more »

Saturday, October 11, 2014

Mwana UKAWA afichua walivyochakachua theluthi mbili Ashangaa kukuta jina lake miongoni mwa wapiga kura

MMOJA wa wajumbe wa Zanzibar wa lililokuwa Bunge Maalumu la Katiba amembana na kumshika uwongo Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta, akisema yeye hakupiga kura lakini mwenyekiti huyo na wenzake walichomeka jina lake ili kulazimisha upatikanaji wa theluthi mbili ya Wazanzibari.
Mjumbe huyo ambaye ni Makamu Mwenyekiti Taifa wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Haji Ambar Khamis, amesema kuwa ameshangaa kukuta jina lake kwenye orodha ya majina ya wajumbe waliopiga kura kupitisha katiba inayopendekezwa. Jina la Khamis ni nambari 39 katika ukurasa wa 209.
Akizungumza na waandishi wa habari jana katika makao makuu ya chama, Ilala, Dar es Salaam, huku akitokwa na machozi, Khamis alisema amesikitishwa na tukio hilo, na mpaka sasa hana amani, na anahofia maisha yake.
“Mimi sijashiriki kabisa bunge hilo tangu Aprili, na wala sijapiga kura. Sijui nini kinaendelea mpaka jina langu likawekwa,” alisema, halafu akakatiza, akaendelea kulia.
Wenzake walimtoa nje. Baadaye walieleza waandishi wa habari kuwa Khamis alipata mshtuko wa moyo, wakampeleka hospitali ya Amana.
Mwenyekiti wa chama hicho, James Mbatia alisisitiza kuwa Khamis amewathibitishia kwa dhati kwamba hakuwahi kushiriki katika kuandaa wala kupitisha Katiba inayopendekezwa tangu BMK liliporejea kwa mara ya pili Agosti 5 mwaka huu.
“Kitendo cha kuandika jina la kiongozi wetu wa taifa katika katiba hiyo bila ridhaa wala ushiriki wake ni ulaghai uliokithiri kwa Watanzania na dunia kwa ujumla. Kitendo hicho ni udhalilishaji kwa ndugu Haji Ambar Khamis yeye binafsi, familia yake, chama chetu, viongozi na wanachama wote wa UKAWA pamoja Watanzania kwa ujumla wao,” alisema.
Mbatia alisema baada ya kupata nakala ya katiba hiyo inayopendekezwa, yeye na wenzake waligundua kuwa jina la kiongozi wao lilikuwa miongoni mwa wajumbe waliopiga kura kupitisha katiba hiyo.
Alisema walipomuuliza kuhusu ushiriki wake kwenye mchakato huo, alikanusha kwa kiapo.
Mbatia alisema pia kuna ushahidi wa kutosha kwamba muda wote tangu Aprili mwaka huu, Khamis hakushiriki katika vikao vya BMK.
Kwa mujibu wa Mbatia, chama chao kinaamini kuwa kitendo hicho kimefanywa kwa makusudi na viongozi wakuu wa BMK ili kukidhi haja zao binafsi na kulaghai umma wa Watanzania, na ni ishara hatarishi kwa usalama wa taifa kwani kinaweza kusababisha machafuko nchini.
Alisema uongozi wa chama umepokea Katiba inayopendekezwa kwa fedheha na mshtuko mkubwa na unaamini kuwa kuna mkakati mbaya na wa makusudi wa kusambaratisha chama chao.
“Imani hii inatokana na ukweli kwamba tangu mchakato wa kupata katiba umeanza, tayari tumeshapoteza viongozi wetu wawili kwa namna za kutatanisha, na hakuna majibu yanayoeleweka kutoka kwa vyombo vya dola,” alisema.
Alisema miongoni mwa viashiria hivyo ni mauaji ya kikatili na ya kinyama ya aliyekuwa kiongozi wa chama hicho Dk. Edmund Sengondo Mvungi yaliyotokea Novemba mwaka jana, na aliyekuwa mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa na Kamishna wa chama hicho Mkoa wa Mara, Stephen Sebeki yaliyotokea Julai mwaka huu.
Mwenyekiti huyo aliongeza kuwa, wana hofu kubwa juu ya usalama wa chama ngazi mbalimbali, wanachama wote wa chama hicho na wanasiasa wenzao wa UKAWA.
Alisema chama chake kitafanya utafiti wa kina na kuchukua hatua za kisheria. Wanajadiliana na jopo la wanasheria juu ya suala hilo.
Mbatia aliitaka serikali iwajibishe wote walioshiriki kubuni na kuandaa mkakati wa kuchomeka jina la Khamis katika orodha ya wajumbe wa Zanzibar.
Vile vile, alimtaka Sitta, amuombe radhi kiongozi wao huyo, familia yake, ndugu, rafiki zake, mashabiki wake, chama hicho, viongozi wenza wa vyama vinavyounda UKAWA pamoja na Watanzania kwa ujumla kwa hujuma walizomfanyia.
“Kisha tunaitaka serikali itoe tamko la kuhakikisha usalama wa kutosha kwa kiongozi wetu, familia yake, viongozi wote wa NCCR pamoja na wanasiasa wote nchini na familia zao. Pia watuhakikishie kwamba matukio ya mauaji kama yaliyowahi kuwatokea viongozi wetu hao wawili hayatatokea tena,” alisema.
Bunge Maalum la Katiba lilimalizika Oktoba 4 mwaka huu, na kuikabidhi katiba hiyo inayopendekezwa kwa Rais Jakaya Kikwete, Oktoba 8 mwaka huu.
Kumekuwapo na utata juu ya mfumo aliotumia Sitta kupata theluthi mbili ya wajumbe wa Zanzibar. Baadhi ya wachambuzi wamesisitiza mara kadhaa kwamba idadi ya wapiga kura kutoka Zanzibar ilighushiwa.
Utata ulitokana na kauli za Sitta mwenyewe, kwani awali alisema idadi ya wajumbe wote wa BMK ni 629 (Tanganyika 419 na Zanzibar 210). Idadi hiyo iliongezeka baadaye wakati wa kutangaza matokeo, ikawa 219 kwa wajumbe wa Zanzibar.
Theluthi mbili za wajumbe 210, ni 140. Wajumbe wa kundi linaloojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), akiwamo Khamis, walikuwa 67. Waliopiga kura za wazi za “hapana” walikuwa wanane, na kufikisha wajumbe 75. Kwa idadi hiyo tu, wapiga kura kutoka Zanzibar walibaki 135.
Kwa idadi ya wajumbe 219, theluthi mbili ingekuwa ni 146, lakini kwa kuzingatia kura za “hapana” zilizopigwa, idadi inayobaki ni 144. Kuibuka kwa mjumbe mpya na madai haya, kunaongeza utata juu ya theluthi mbili iliyotangazwa na Sitta juu ya idadi ya wajumbe waliopitisha katiba hiyo.
Sitta alipotafutwa ili atoe ufafanuzi, simu yake iliita lakini hakupokea. Baadaye, mwandishi alimtumia ujumbe mfupi wa maandishi, hakujibu.
Kwa mujibu wa Kamusi ya Kiswahili Sanifu, neno -fyanda lina maana ya –bana, -finya. Hiki ni kibano kipya kwa Sitta, ambaye kwa siku kadhaa amekuwa katika mzozo na viongozi wa dini na wanasiasa wenzake, hasa wa upinzani na makundi kadhaa katika jamii.
SORCE: TANZANIA DAIMA .




Read more »

Saturday, October 4, 2014

KILAINI! SITTA ANA MSONGO WA MAWAZO KITAIFA.


Dodoma. Sasa ni wazi kwamba Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta ameingia katika mgogoro na viongozi wa dini.

Wakati jana Sitta akirejea kauli yake aliyoitoa hivi karibuni kwamba waraka uliotolewa na viongozi wa Jukwaa la Wakristo Tanzania kuhusu mchakato wa Katiba kwamba "hauna utukufu wa Mungu na wa kipuuzi", viongozi hao wamesema mwanasiasa huyo ahurumiwe kwa kuwa "ana msongo wa mawazo".

Kauli ya Sitta

Sitta alisema nia ya baadhi ya viongozi hao wa dini ni kuliingiza Taifa katika machafuko, jambo ambalo alisema kama mtu mzima na mzee, hatalivumilia.

Waraka huo ulitolewa kwa pamoja na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Baraza la Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (FPCT) na Kanisa la Waadventista Wasabato (SDA).

Sitta alilieleza Bunge hilo kuwa lugha iliyotumika kuandika waraka huo aliokuwa nao na kusoma baadhi ya vipengele vyake, haina staha na haifai hata kidogo kutolewa na watu ambao wanahubiri dini na amani.

"Moja ya vitu ambavyo watu wanatakiwa kuviona, hivi wanaposema kuwa rais asimamishe mchakato wa Katiba, wanakuwa na maana gani? Hivi ni Ukristo huo kweli unaotokana na utukufu wa Mungu?" alihoji Sitta huku akishangiliwa na wajumbe. Alikwenda mbali akiifananisha lugha iliyotumika kuandaa waraka huo na ile aliyozoea kuisikia kutoka kwa wajumbe wa Bunge la Katiba wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

Akinukuu sehemu ya waraka huo iliyosema "mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba afanye kazi bila ya ubabe," alisema huo ni uongo kwani anafanya kazi kwa weledi mkubwa.

"Jamani, mimi ni Mkristo na wala sina ubabe wala kiburi. Hivi hawa wanaotutukana kule nje hawawaoni? maneno mangapi yanasemwa juu yetu na watu wale, hivi hii siyo siasa jamani? Waraka huo wa maaskofu umesomwa kila mahali na makanisani, unawezaje kusema Rais aifufue Tume ya Mabadiliko ya Katiba wakati tayari tume hiyo ilishajifufua yenyewe kwa kujibizana na Bunge kila wakati?"

Sitta aliendelea kueleza kuwa akiwa mzee na mtu mzima, atasimamia jambo hilo ,wanzo mwisho.


SOURCE: MWANANCHI.
Read more »

Sunday, September 28, 2014

Wheelchair tennis duo for World Cup 2017

Tanzania wheelchair tennis duo boards a flight to Istanbul today where they are scheduled to compete at the World Team Cup championship next week.

The team will make a stopover in Nairobi for two days training before proceeding with their flight to Turkey.

Tanzania Paralympics Committee (TPC) chairman Johnson Jansen said the team was supposed to leave the country on Saturday but their sponsors who happen to be Friends of Children of Tanzania (FCoT) suggested the stopover in Nairobi for training.

Jansen said the trainings will help the players to acquaint themselves to playing on clay courts and also to save cost as it is economical boarding a flight from Kenya to Istanbul than Dar es Salaam.

Players representing the country in the world event are Novatus Emmanuel and Juma Hamis. The BNP Paribas World Team Cup which will be played in Antalya from May 20-26.

Accompanying the players are three officials Mathew Selevani, coach Riziki Salum and technical director Tony Angeline.

The wheelchair tennis event is reminiscent to Davis Cup and Fed Cup in international stage.

This is the first time for Tanzania players to compete at the event hosted by different nations each year. The tournament comprise various divisions, including men, women, and juniors.

Meanwhile, Egypt Air has donated air ticket to Angeline to attend a two days wheelchair coaches course in Turkey.
 source: the gudian
Read more »

Wednesday, August 13, 2014

IPC Appoints Neil Barua as Chief Executive Officer


 

Allison Liantonio                                                                                       Lindsay Bubbico
IPC Systems, Inc.                                                                                      Finn Partners for IPC
+1 201-253-2331                                                                                       +1 212-583-2738
Allison.Liantonio@ipc.com                                                                         Lindsay@finnpartners.com

                           IPC Appoints Neil Barua as Chief Executive Officer

Jersey City, N.J – August 12, 2014 – IPC, the leading provider of specialized solutions for the financial services community, today announced the appointment of Neil Barua as Chief Executive Officer, effective immediately. A veteran of the telecom and financial industries, Mr. Barua had been serving as interim CEO of IPC since February 2014.

Previously, Mr. Barua was an Operating Partner at Silver Lake, the global leader in technology investing, and will remain part of the Silver Lake extended community as CEO of one of its portfolio companies.

“I am excited and honored to join IPC as Chief Executive Officer,” said Mr. Barua. “During my time at IPC, I have developed tremendous respect for the people at this company and how we serve our customers as a trusted partner. I’m thrilled to accelerate our current momentum and provide superior trading and connectivity solutions to our customers.

”“Neil has done a tremendous job at IPC in his interim role, and we couldn’t be more pleased to have him lead IPC into its next phase of growth,” said Greg Mondre, Managing Partner at Silver Lake.

Mr. Barua previously served as Operating Advisor at private equity firm Francisco Partners. His management experience includes his role on the executive leadership team that took telecommunications company Global Crossing through a restructuring and consequent sale to Level 3 Communications. Mr. Barua held several leadership positions at Global Crossing around the world, including Managing Director of its $700 million+ enterprise services division, where he led the team to significant growth. Before Global Crossing, Mr. Barua worked at Asia Global Crossing in Hong Kong and was a key participant in its $400 million initial public offering.
About IPC

IPC is a leading global provider of specialized solutions for the financial services community. With a 100-percent focus on this sector and over 40 years of expertise, IPC provides customers with integrated solutions that support traders and participants across the entire trade lifecycle including sell-side and buy-side financial institutions, inter-dealer brokers, liquidity venues, clearing and settlement firms, independent software vendors, corporate finance departments, financial information exchange providers and market data providers. IPC’s offerings include a unified communications/application platform, award-winning hard and soft turrets, managed voice and data
network

SOURCE: IPC
Read more »

Popular Posts

Author

Yohana Mwila

Translator

Subscribe to our Mailing List

We'll never share your Email address.
Copyright © 2013 CORRECT NEWSTZ BLOG. Powered by Blogger.
Blogger Template by Bloggertheme9
+255 (784) 033-443yohanamwila@gmail.com