Tuesday, December 30, 2014

FILM OF THE RECORD interview broke them NORTH KOREA

Posted by Unknown  |  Tagged as:

Sony Picutues company states that - the interview - which is highly controversial satirical film about a plot to assassinate the leader of North Korea Kim Jong un has been more successful online.
The company says that the film has been purchased and leased more than two million times in four days since be included in networks.
Sony suspended its plan to film after the company's computer interference allegedly corrupt harvest while North Korea linked in such a corrupt harvest.

FILAMU YA THE INTERVIEW YAVUNJA REKODI KUREA KASKAZIN.

Kampuni ya Sony Picutues inasema kuwa - the interview - ambayo ni filamu yenye utata ya dhihaka kuhusu njama ya kumuua kiongozi wa korea kaskazini Kim Jong un imekuwa yenye mafanikio zaidi mtandaoni.
Kampuni hiyo inasema kuwa filamu hiyo imenunuliwa na pia kukodishwa zaidi ya mara milioni mbili kwa muda wa siku nne tangu iwekwe kwenye mitandao.
Sony iliahirisha mpango wake wa filamu baada ya komputa za kampuni hiyo kudaiwa kuingiliwa na uhalibifu, huku Korea Kaskazini ikihusishwa katika uhalibifu huo.

0 comments:

Popular Posts

Author

Yohana Mwila

Translator

Subscribe to our Mailing List

We'll never share your Email address.
Copyright © 2013 CORRECT NEWSTZ BLOG. Powered by Blogger.
Blogger Template by Bloggertheme9
+255 (784) 033-443yohanamwila@gmail.com