Kwanza kabisa napenda niwatakie heli ya mwaka mpya wasomaji wa blog yangu kwani ni jambo la kumshukuru sana mungu kufika mwaka 2014 kwa najuwa hakuna hata mmoja miongoni mwetu ambae alitarajia au alijuwa kuwa atafika mwaka huu 2014 ila ni mungu kwa upenda wake kwetu, tumeuona, na hata kwa wale ambao hawajauona pia tuwaombee mungu awalaze mahali pema peponi Amina.
PONGEZI KWAO
kwa viongozi wote waliowajibika ama kwa kushindwa kazi au kwa kuwaachia wengine nao wafanye kazi walizokuwa wanafanya wao katika nafasi za uongozi wa serikali au wa vyama vya michezo .
Kwa viongozi wa serikali napenda sana kuwapongeza mawaziri walioamua kujihuthuru kwa hiali yao bila kuwajibishwa baada ya kuona mambo yanakwenda ndivyo sivyo katika wizara walizokuwa wanazitumikia,
Nawapongeza sana kwani wameonyesha kuwa wamekomaa kisiasa na pia wameonyesha kuwa wanaheshimu sana wananchi waliowachagua na pia wameonyesha wanauzalendo wa kutosha.
Monday, January 27, 2014
SALAMU ZA MWAKA MPYA TOKA KWANGU
Posted by Unknown |  Tagged as: MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Naibu waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Watu wenye Ulemavu) Dkt Abdallah Possi akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(HawapoPichani) kuhusu vy...
-
Nigeria and Kenya earned their respective places in men’s World Group II and the women’s World Group for the 2014 BNP Paribas World Tea...
-
Tanzania wheelchair tennis duo boards a flight to Istanbul today where they are scheduled to compete at the World Team Cup championship n...
-
Chama cha National Reconstruction Allience NRA kimewataka wanachama na wananchi kwa jumla kupuuza tamko la aliyekuwa mgombea wa Chama hicho ...
-
The open competition for the design of the Tokyo 2020 Olympic and Paralympic Games Emblems wrapped up successfully on Monday (7 December)...
-
The International Tennis Federation (ITF) today announced the publication of its official Olympic Book for Rio 2016: My Life, My Medal....
My Fellow Bloggers
LIKE PAGE
utaifa kwanza
Blog Archive
-
▼
2014
(30)
-
▼
January
(8)
- U.S COACH HELPS BRING WHEELCHAIR TENNIS FOR DEVEL...
- MKENYA, KIPCHOGE KEINO! MW/KT KOC AWAFUNDA VIONGOZ...
- SALAMU ZA MWAKA MPYA TOKA KWANGU
- STAN BINGWA MPYA AUSTRALIA OPEN.
- WANARIADHA WA KENYA WAAPA KUGOMEA KUTOZWA KODI.
- FLOOD DUMILA WHO IS BLAME
- UJIO WA KIFIMBO CHA MALKIA WAWA KERO KWA VIONGOZI ...
- Let us not forget the good things of late imitatio...
-
▼
January
(8)
Total Pageviews
Author
Yohana Mwila
Facebook
Twitter
RSS
0 comments: