Kwanza kabisa napenda niwatakie heli ya mwaka mpya wasomaji wa blog yangu kwani ni jambo la kumshukuru sana mungu kufika mwaka 2014 kwa najuwa hakuna hata mmoja miongoni mwetu ambae alitarajia au alijuwa kuwa atafika mwaka huu 2014 ila ni mungu kwa upenda wake kwetu, tumeuona, na hata kwa wale ambao hawajauona pia tuwaombee mungu awalaze mahali pema peponi Amina.
PONGEZI KWAO
kwa viongozi wote waliowajibika ama kwa kushindwa kazi au kwa kuwaachia wengine nao wafanye kazi walizokuwa wanafanya wao katika nafasi za uongozi wa serikali au wa vyama vya michezo .
Kwa viongozi wa serikali napenda sana kuwapongeza mawaziri walioamua kujihuthuru kwa hiali yao bila kuwajibishwa baada ya kuona mambo yanakwenda ndivyo sivyo katika wizara walizokuwa wanazitumikia,
Nawapongeza sana kwani wameonyesha kuwa wamekomaa kisiasa na pia wameonyesha kuwa wanaheshimu sana wananchi waliowachagua na pia wameonyesha wanauzalendo wa kutosha.
Monday, January 27, 2014
SALAMU ZA MWAKA MPYA TOKA KWANGU
Posted by Unknown |  Tagged as: MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
CCM yapanga mikakati minne kuzima azma hiyo CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeweka mikakati minne mikubwa kuhakikisha kinazima mapendekezo y...
-
Chama cha Walemvu VICOBA Dar es salaam (WAVIDA)kimemlalamikia rais wa Vicoba Tanzania,Devota Likokola kwa madai ya kutowapatia fedha zil...
-
given the importance of sport in any country , but I remain very wondering together Tanzanians love sports, we 'd be in th...
-
Huku Ligi ya kandanda nchini Tanzania ikitarajia kuanza mzunguko wake wa Pili Mwishoni mwa juma hili, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanza...
-
wheelchair tennis players of kenya , will today lock horns with Egypt in the women’s finals of the BNP Paribas Wheelchair Tennis W...
-
Chairman of the Constituent Assembly time Pandu Kificho coming out of the theater 's special...
-
Mnamo tarehe 20/03/2014 Serikali ya Tanzania kupitia mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ilitangaza Oparesheni ya kuzuia Bajaj, maguta, Boda...
-
Faraja Nyalandu visited Jacqueline Mengi at her office and this is what they wore . Faraja is wearing all white suit and Black pumps while ...
My Fellow Bloggers
LIKE PAGE
utaifa kwanza
Blog Archive
-
▼
2014
(30)
-
▼
January
(8)
- U.S COACH HELPS BRING WHEELCHAIR TENNIS FOR DEVEL...
- MKENYA, KIPCHOGE KEINO! MW/KT KOC AWAFUNDA VIONGOZ...
- SALAMU ZA MWAKA MPYA TOKA KWANGU
- STAN BINGWA MPYA AUSTRALIA OPEN.
- WANARIADHA WA KENYA WAAPA KUGOMEA KUTOZWA KODI.
- FLOOD DUMILA WHO IS BLAME
- UJIO WA KIFIMBO CHA MALKIA WAWA KERO KWA VIONGOZI ...
- Let us not forget the good things of late imitatio...
-
▼
January
(8)
Total Pageviews
Author

Yohana Mwila
0 comments: