Thursday, December 10, 2015

TPC WALIVYO SIVYO WALIVYOKUWA HAPO ZAMANI

Posted by Unknown  |  Tagged as:

Tanzania Paralympic  yaanzisha rasimi mchezo wa sitting Volleyball kwa kufanya shindano kubwa sana lililofadhiliwa na taasisi ya AGTOS FOUNDATION, kwa kuanzisha huku mchezo huu ndio kusema sasa wameanza rasmi na kwa kasi ya ajabu sana kwenye michezo ya walemavu kwa nchi  ya Tanzania.
 Wakizungumza na mwandisha wa blog yetu , wachezaji wa mchezo huu na michezo mingie wheelchair baskatball walisema, " kwaakeli tumeflahi sana kwa jitihada kubwa zilizofanywa na Uongozi mpya wa TNPC kwa kuanzisha shindano kama hili lenye lengo la kuhamasisha michezo ya watu wenyer ulemavu na tuna waomba waendelee hivihivi kwa michezo ni ajira  kwa watu kama sisi tusiokuwa na ajila" alinukuliwa  mchezaji STEVEN MANUMBU.
Pia akizungumza katibu wa TNPC amabae na ni mchezaji bwana Peter Sarungi alisema, "tunasukuru sana vyombo vya habari kwa sapoti yenu , tunawashukuru sana AGTOS FOUNDATION kwa sapoti yao kwentu ukizingatia ni mara ya kwanza kuomba pesa kwao na tumepa kutokana na maombi yetu kuwafulahisha sana na kuwauma kutusaidia kiasi cha pesa"

0 comments:

Popular Posts

Author

Yohana Mwila

Translator

Subscribe to our Mailing List

We'll never share your Email address.
Copyright © 2013 CORRECT NEWSTZ BLOG. Powered by Blogger.
Blogger Template by Bloggertheme9
+255 (784) 033-443yohanamwila@gmail.com