Tanzania Paralympic yaanzisha rasimi mchezo wa sitting Volleyball kwa kufanya shindano kubwa sana lililofadhiliwa na taasisi ya AGTOS FOUNDATION, kwa kuanzisha huku mchezo huu ndio kusema sasa wameanza rasmi na kwa kasi ya ajabu sana kwenye michezo ya walemavu kwa nchi ya Tanzania.
Wakizungumza na mwandisha wa blog yetu , wachezaji wa mchezo huu na michezo mingie wheelchair baskatball walisema, " kwaakeli tumeflahi sana kwa jitihada kubwa zilizofanywa na Uongozi mpya wa TNPC kwa kuanzisha shindano kama hili lenye lengo la kuhamasisha michezo ya watu wenyer ulemavu na tuna waomba waendelee hivihivi kwa michezo ni ajira kwa watu kama sisi tusiokuwa na ajila" alinukuliwa mchezaji STEVEN MANUMBU.
Pia akizungumza katibu wa TNPC amabae na ni mchezaji bwana Peter Sarungi alisema, "tunasukuru sana vyombo vya habari kwa sapoti yenu , tunawashukuru sana AGTOS FOUNDATION kwa sapoti yao kwentu ukizingatia ni mara ya kwanza kuomba pesa kwao na tumepa kutokana na maombi yetu kuwafulahisha sana na kuwauma kutusaidia kiasi cha pesa"
0 comments: